M23 wamepewa kichapo na wamerudishwa nyuma baada na special forces za jeshi la DRC kuingia Goma

 


Inaripotiwa kuwa, mpaka majira ya saa 5 usiku, waasi wa M23 wameshindwa kuushika mji wa Goma na wameanza kuzidiwa.


Hii ni baada ya askari wa ranks za captain na Lieutenants kuoongoza vikosi vya jeshi la Kongo baada ya majenerali na wengine wa vyeo vya juu kukimbia.



Post a Comment

0 Comments